Kiswahili

====== Kuhusu chama cha SVETAN ======
Chama cha SVETAN kilianzichwa mwaka 1968.

SVETAN kina malengo matatu:
* Kusaidia maendeleo ya Tanzania.
* Kuimarisha mahusiano kati ya Uswidi na Tanzania.
* Kuongeza maarifa kuhuso Tanzania Uswidini.

===== Tunafanya: =====
Gazeti la ”Habari” linatolewa mara nne kwa mwaka.
Tunaandaa semina na kuhusu maswala mbalimbalai, kwa mfano pambano ya ukimwi, maendeleo ya kiuchumi, usawa wa kijinsia.

Tunasaidia Tumaini Children´s Centre, Bukoba.

Tunakusanya fedha kwa ajiri ya walioathirika wakati wa mafaa.

Tunatoa ushauri kwa wanachuo na wanafunzi wanaoandika reports kuhusu Tanzania.